Skip to main content

Helikopta zaanza kuhudumu kama teksi Kenya

Baada ya uzinduzi wa safari ya teksi kupitia mtandao wa Uber, sasa kampuni ya Uber, imedokeza kuanzisha njia ya usafiri kupitia ndege maarufu Uber Chopper Nchini Kenya.
Kampuni hiyo inalenga kushirikiana na coporate helicopters katika uanzilishi wa safari ya kwanza ya Uber Chopper.
Ingawa huduma ya Uber Chopper inapatikana katika nchi ya Marekani na mji wa Dubai, Wakenya walipata kionjo cha safari hiyo mjini Nairobi.
Abdinoor Aden na maelezo zaidi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.