KIKWETE AHUTUBIA MAREKANI AITAKA JUMUIA YA KIMATAIFA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ambaye ni Kamishna wa Kamisheni ya Kimataifa kuhusu Elimu, akihutubia mbele ya umati wa wakazi wa Jiji la New York, Marekani, katika Tamasha la Global Citizen lililofanyika Uwanja wa Central Park. Kikwete alichagiza jumuia ya kimataifa kuchangia na kuwekeza katika elimu kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho. (PICHA YA MTANDAO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI