KILIMANJARO QUEENS MABINGWA KOMBE LA CECAFA CHALENJI 2016


 Wachezaji wa Kilimanjaro Queens wakiahangilia ubingwa wa Chalenji Cup kwa wananwake mjini Jinja leo baada ya kuibwaga timu ya Kenya.


Haikuwa ubashiri, badala yake ilikuwa ni mipango thabiti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuhakikisha kwamba inavuna ushindi na kuwa mabingwa wa Kombe la Chalenji la CECAFA kwa wanawake baada ya kuilaza Kenya mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika Uwanja wa Nambole jijini Jinja nchini Uganda.

Mabao ya timu ya taifa Tanzania ya wanawake maarufu kama Kilimanjaro Queens katika mchezo wa leo Septemba 20, 2016 yamefungwa na Mwanahamisi Omari katika kipindi cha kwanza kabla ya Kenya kujitutumua na kupata bao la kufutia machozi kipindi cha pili katika mchezo uliokuwa na ushindani wa aina yake.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*