Wafuasi wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba wakimshambulia mlinzi wa kampuni binafsi ya ulinzi aliyekutwa akilinda ofisi za chama hicho, Buguruni Dar es Salaam wakati kiongozi huyo alipowasili eneo hilo baada ya kurejeshewa wadhifa huo na Msajiri wa Vyama vya Siasa nchini. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Lipumba akiwapungia mkono wananchi alipowasili Ofisi za CUF Buguruni
Wafuasi wa Profesa Lipumba wakiparamia geti kuingia ndani
Vurugu baada ya kuingia ndani ya ofisi za CUF
Mlinzi mtiifu wa Lipumba akiwa na silaha waliyomnyang'anya mlinzi wa kampuni binafsi
Mlinzi akapata mkong'oto
Askari wa Kampuni binafsi ya ulinzi akishurutishwa na wafuasi wa Profesa Lipumba kutoka nje kwa kuruka ukuta wakati wa vurugu zilizozuka katika ofisa za chama hicho, Buguruni Dar es Salaam.
Askari wakilinda doria wakati wa vurugu hizo.
Lipumba akionesha barua aliyopewa na Msajiri wa vyama vya siasa kumtambua kwamba yeye bando ni Mwenyekiti wa CUF
Profesa Lipumba akihutubia wafuasi wake baada ya kuingia katika ofisi hizo.
Lipumba akiondoka
Ulinzi ukiwa umeimarishwa
Lipumba akiwapungia mkono wananchi alipowasili Ofisi za CUF Buguruni
Wafuasi wa Profesa Lipumba wakiparamia geti kuingia ndani
Vurugu baada ya kuingia ndani ya ofisi za CUF
Mlinzi mtiifu wa Lipumba akiwa na silaha waliyomnyang'anya mlinzi wa kampuni binafsi
Mlinzi akapata mkong'oto
Askari wa Kampuni binafsi ya ulinzi akishurutishwa na wafuasi wa Profesa Lipumba kutoka nje kwa kuruka ukuta wakati wa vurugu zilizozuka katika ofisa za chama hicho, Buguruni Dar es Salaam.
Askari wakilinda doria wakati wa vurugu hizo.
Lipumba akionesha barua aliyopewa na Msajiri wa vyama vya siasa kumtambua kwamba yeye bando ni Mwenyekiti wa CUF
Profesa Lipumba akihutubia wafuasi wake baada ya kuingia katika ofisi hizo.
Lipumba akiondoka
Ulinzi ukiwa umeimarishwa
Comments