PROFESA MWANDOSYA ATEMBELEA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

 Kamishna Mkuu wa Kwanza wa Nishati na Maendeleo ya Petroli nchini, Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akielezea uzoefu wake aliposhika wadhifa huo 1985, alimtembelea Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo anayeshughulikia Nishati, Dk. Juliana Pallangyo katika Wizara hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mwakilishi kutoka Kampuni ya Pan African Energy aliyeambatana na Profesa Mwandosya, Jacqueline Kawishe
Profesa Mark Mwandosya akiwa katika picha ya pamoja na Dk, Pallangyo , Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli Wizara ya Nishati na Madini, James Andilile (kushoto) pamoja na Kawishe (kulia).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA