Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wakati wa alipofika katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi wa Mikoa mitatu(3) ya Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akihutubia wananchi wa Mikoa mitatu ya Unguja wakati akimkaribisha Dkt.John Magufuli katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa mikoa mitatu ya Unguja katika uwanja wa kibandamaiti leo.[Picha na Ikulu.] 03/09/2016
wananchi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wakati wa alipofika katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi wa Mikoa mitatu(3) ya Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha salim Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi uliofanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa kuwashukuru Wananchi wa Mikoa mitatu(3) .[Picha na Ikulu.] 03/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha salim Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi uliofanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa kuwashukuru Wananchi wa Mikoa mitatu(3) (katikati)Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli .[Picha na Ikulu.] 03/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akihutubia wananchi wa Mikoa mitatu ya Unguja wakati akimkaribisha Dkt.John Magufuli katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa mikoa mitatu ya Unguja katika uwanja wa kibandamaiti leo.[Picha na Ikulu.] 03/09/2016
wananchi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wakati wa alipofika katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi wa Mikoa mitatu(3) ya Unguja leo.[Picha na Ikulu.]
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha salim Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi uliofanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa kuwashukuru Wananchi wa Mikoa mitatu(3) .[Picha na Ikulu.] 03/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha salim Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi uliofanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa kuwashukuru Wananchi wa Mikoa mitatu(3) (katikati)Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli .[Picha na Ikulu.] 03/09/2016.
Comments