YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI



Inaelezwa kuwa madereva wa daladala mkoani Dodoma wagoma kwa muda wa saa saba kwa madai ya kukamatwa na askari bila sababu maalum; https://youtu.be/pm44pxayJRU

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa watatu wa matukio ya wizi wa kutumia silaha;https://youtu.be/3u7Q7rrx2OQ

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai awataka wabunge wa bunge la Tanzania kuondoa tofauti zao badala yake washirikiane katika kujadili masuala yenye tija kwa jamii; https://youtu.be/2ia_vSafMds

Ofisi ya makamu wa Rais yakanusha taarifa zinazoenea katika mitandao ya kijamii kuhusu makamu wa Rais kutaka kujiuzulu;https://youtu.be/xfu_Zw1Yz7c

Fuatilia mazungumzo ya Naibu Meya Manispaa ya Ilala, akikuelezea kwa undani kabisa aina tano za mitaji katika ujasiriamali;https://youtu.be/XNp2zTax6sE

Sikiliza jinsi suala la fursa kwa vijana nchini linavyotiliwa mkazo katika kipindi hiki cha serikali ya  awamu ya tano;https://youtu.be/ODvkCxc7K5o

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI