YALIYOJIRI KWENYE VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI

SIMU.tv: Ahadi ya Rais John Magufuli ya kujenga nyumba 644 katika eneo la Magomeni Kota  jijini Dar es Salaam yaanza kutekelezeka;https://youtu.be/OZvsyHmvWXM

SIMU.tv: Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wametakiwa kuweka utaratibu wa kutoa mafunzo kwa UVCCM kuhusu historia ya chama chao; https://youtu.be/EEKZjaICJWc

SIMU.tv: Mkuu wa wilaya ya Kilwa awataka wadau wa elimu wilayani humo kufuata miongozo inayotolewa na serikali katika kuboresha sekta ya elimu; https://youtu.be/vBfBHpRY3hc

SIMU.tv: Kiongozi wa mbio za Mwenge George Mbijima agoma kuzindua jengo la ofisi kata ya Mbongwe wilayani Nzega baada ya kubaini jengo hilo si jipya. https://youtu.be/0tkTSNWsw8Y

TBC: Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wametakiwa kuweka utaratibu wa kutoa mafunzo kwa UVCCM kuhusu historia ya chama chao;https://youtu.be/EEKZjaICJWc

SIMU.tv: Inaelezwa kuwa  chanzo cha mgogoro wa ardhi wilaya ya Rufiji mkoano Pwani inatokana na ongezeko la mifugo;https://youtu.be/jFQxQPRH29A

SIMU.tv: Benki nchini zimeombwa kutoa mikopo nafuu kwa kina mama ili kuwawezesha kujikwamua na umasikini;https://youtu.be/lVchyfRSIFQ

SIMU.tv: inaelezwa kuwa asasi nyingi za kiraia nchini zinakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo suala la fedha za kuendesha miradi mbalimbali; https://youtu.be/uD2eFZvNAwk

SIMU.tv: Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi UVCCM Zanzibar wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuyalinda mapinduzi ya Zanzibar; https://youtu.be/XmurufeDjVg

SIMU.tv: Fahamu zaidi juu ya Ushiriki wa jamii katika mkakati kabambe wa kutokomeza ajari barabarani kufuatia wiki hii ya nenda kwa usalama; https://youtu.be/_vqElv_hRlE

SIMU.tv: Fahamu zaidi umuhimu wa hesabu kutoka kwa mhadhiri wa idara ya hesabu chuo kikuu cha Dar es salaam kufuatia siku ya hesabu duniani;https://youtu.be/7NEzRs-LPA0

SIMU.tv: Fuatilia uchambuzi kuhusiana na harakati za uchaguzi mkuu unaondelea nchini marekani kutoka kwa mchambuzi wa siasa, Moses Mutente; https://youtu.be/BV715wb3NuQ


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI