SIMU.TV: Msafara wa madaktari bingwa kutoka Saudi Arabia umewasili nchini kwa ajili ya kufanya upasuaji na matibabu kwa watoto wenye matatizo ya moyo. https://youtu.be/_YwSwMPoa_0
SIMU.TV: Serikali imesema itaendela kuwachukulia hatua kali wahudumu wa afya watakaobainika kuwauzia wagonjwa damu salama ambayo hutolewa bure. https://youtu.be/yMn3GjWh0kw
SIMU.TV: Kamati ya utendaji ya chama cha wananchi CUF wilaya ya Kilwa yasema inatambua maamuzi halali yote yaliyokwisha chukuliwa na mamlaka halali za chama hicho. https://youtu.be/ho74hvTsGSE
SIMU.TV: Tume ya kuratibu na kupambana na dawa za kulevya nchini yatoa mafunzo kwa vitengo vinavyopamabana na kuzuia uingizwaji wa dawa za kulevya nchini. https://youtu.be/3tP8nabGWXs
SIMU.TV: Wakazi wa wilaya ya Rufiji mkoani Pwani watakiwa kutoamini imani za ushirikina wanapokabiliwa na magonjwa badala yake wakapate matababu vituo vya afya. https://youtu.be/SiZv9j1Yv6c
SIMU.TV: Wakulima wa zao la mpunga wilayani Maswa watakiwa kuimarisha ushirika na kuzingatia kanuni bora za kilimo ili kupata manufaa kupitia kilimo hicho. https://youtu.be/olZyK_ca19s
SIMU.TV: Wananchi wa kijiji cha Matendo katika kata ya Matendo wilayani Kigoma wakataa kupitisha taarifa ya mapato na matumizi kutokana na kutosomewa taarifa kwa miaka mitatu iliyopita. https://youtu.be/E6BUD-GQcX8
SIMU.TV: Watumiaji wa maji nchini washauriwa kutumia vifaa maalumu vya kuhifadhia maji ili kuepuka magonjwa ya mlipuko yatokanayo na maji machafu. https://youtu.be/JTOrjrUQmKE
SIMU.TV: Benki ya CRDB tawi la Manyara yatoa msaada wa madawati kwa halmashauri ya wilaya ya Mbulu katika kuunga mkono juhudi za kumaliza tatizo la madawati nchini. https://youtu.be/oMMehWZQ_uI
SIMU.TV: Serikali imesema inakusudia kubadilisha utamaduni wa ndani kuwa chanzo cha utalii ili uweze kumnufaisha mwananchi mmoja mmoja. https://youtu.be/3q3S2OQ_Np0
SIMU.TV: Mbio za mwenge nchini zitakazo hitimishwa katika mkoa wa Simiyu zinatarajiwa kuburudishwa na wasanii mbalimbali wa ngoma za asili huku mgeni rasmi akiwa rais Dr John Pombe Magufuli. https://youtu.be/9oVaKYICcAY
SIMU.TV: Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini watoa wito kwa vijana nchini kuwa na utamadanu wa kupima afya zao mara kwa mara. https://youtu.be/eAGqQDX2WX0
Preview YouTube video Watoto Wadogo Kupatiwa Matibabu Ya Moyo Bure
Preview YouTube video Marufuku Kuwauzia Wagonjwa Damu
Preview YouTube video Kilwa Yabariki Prof Lipumba Kufukuzwa CUF
Preview YouTube video Wapata Vifaa Vya Kutambua Dawa Za Kulevya
Preview YouTube video Watakiwa Kuacha Kuwa Na Imani Potofu
Preview YouTube video Mwenge Waanza Mbio Zake Simiyu
Preview YouTube video Wananchi Wagomea Taarifa Ya Mapato Na Matumizi
Preview YouTube video Uhifadhi Bora Wa Maji
Preview YouTube video CRDB Yatoa Madawati Mbulu
Preview YouTube video Serikali Kuinua Utamaduni Wa Ndani
Preview YouTube video Ngoma Za Asili Kupamba Sherehe Za Kuhitimisha Mbio Za Mwenge
Preview YouTube video Wasanii Watoa Wito Wa Kupima Afya
Comments