Mmiliki wa Blogu hii, ambaye pia ni Mpiga Picha Mkuu wa Gazeti la Jambo leo, Richard Mwaikenda (wa nne kushoto) akiwa na wapiga picha wenzie katika picha ya pamoja na Rais Joseph Kabila wa DRC Congo Ikulu, Dar es Salaam leo.Wengine kutoka kushoto ni Said Powa wa Tanzania Daima, John Badi wa The Guardian, Anthony Siame wa Mwananchi, Ofisa Habari wa Mambo ya Nje na Mpiga Picha wa Ikulu, Jackson Msangula.
Kamanda Richard Mwaikenda akivinjari kwenye viunga vya Ikulu, Dar es Salaam leo, alipokwenda kufanya coverage ya ziara ya Rais Kabila ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku tatu. Anarejea kesho nchini kwake.
Kamanda Richard Mwaikenda akivinjari kwenye viunga vya Ikulu, Dar es Salaam leo, alipokwenda kufanya coverage ya ziara ya Rais Kabila ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku tatu. Anarejea kesho nchini kwake.
Comments