KIKOSI CHA KMKM CHAANDAA MBIO ZA KILOMITA 10 TAREHE 29 MWEZI HUU.


Mwenyekiti wa Kikosi cha Kuzuia Magenzo Zanzibar (KMKM) Sports Club Kapteni Khatib Khamis Mwadini akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu mbio za Kilomita 10 zitakazofanyika tarehe 29 mwezi huu kuanzia Makao Makuu ya kikosi hicho Kibweni na kumalizikia Uwanaja wa Maisara Mjini Zanzibar. 

Mwenyekiti wa Chama cha riadha Zanzibar Abdulhakim Cosmas akitoa maelekezo juu ya mbio za Kilomita 10 zilizoandaliwa na Kikosi cha KMKM katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Makao Makuu ya Kikosi hicho Kibweni. 
Mwandishi wa Habari wa Star TV Abdalla Pandu akiuliza swali wakati wa mkutano wa maandalizi ya mbio za kilomita 10 zilizoandaliwa na Kikiso cha KMKM. 
Mwenyekiti wa Kamati ya ufundi wa mbio za Kilomita 10 za KMKM Luteni Mlingi Mganga Bwire akijibu maswala yaliyoulizwa na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Kikosi hicho Kibweni Mjini Zanzibar.

Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU