KONGAMANO LA HAKI YA AFYA YA UZAZI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM


1
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi akifungua kongamano la Kitaifa la Haki ya Afya ya Uzazi katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam ambapo wadau mbalimbali wamehudhuria katika kongamano hilo wakiwemo Wanasheria , Wanasiasa, Wanafunzi Waandishi wa habari pamoja na waalikwa mbalimbali.
002
Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA Bi. Tike Mwambipile akizungumza katika kongamano hilo wakati alipokuwa akifafanua mambo mbalimbali kuhusu Haki ya Afya ya Uzazi.
02
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mama Anne Makinda akiwa katika kongamano hilo pamoja na washiriki wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi, Mwenyekiti wa TAWLA Bi. Attanasia Soka na Jaji Winnie Korosso.
2
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake (TAWLA) Bi. Attanasia Soka na Jaji Winnie Korosso akimkaribisha mgeni rasmi ili kufungua kongamano hilo.
3
Baadhi ya wanasheria wanawake na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali wakiwa katika kongamano hilo.
4
Kutoka kulia Mgeni rasmi katika Kongamano hilo Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi, akiwa na Mkurugenzi wa TAWLA Bi. Tike Mwambipile na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Bi. Pindi Chana.
5
Watoa mada wa kongamano hilo wakifuatilia kongamano hilo.
6
Baadhi ya wadau mbalimbali katika picha tofauti wakionekana kufuatilia na kuandika mambo muhimu yanayojadiliwa katika kongamano hilo.
7891011
Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA Bi Tike Mwambipile akiwa katika picha ya pamoja na Nasieki Kisambu Kutoka TAWLA na Salome Argan Mtoa mada wa Kongamano hilo kutoka Legal Advicer For Africa Center for Reproductive Rights.
12
Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA Bi Tike Mwambipile akifurahia jambo na Jaji Winnie Korosso.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA