RAIS KABILA WA DRC CONGO AWASILI KWA ZIARA YA SIKU TATU NCHINI

 Rais wa DRC Congo Joseph Kabila akiwasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kuanza ziara ya siku tatu nchini. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
 Ndege iliyombeba Rais Joseph Kabila ikiwasili Dar es Salaam leo
 Rais Kabila akiwa na furaha alipolakiwa na Rais John Magufuli

 Kikundi cha ngoma cha JWTZ kikitumbuiza wakati wa mapokezi

 Moto ulisababishwa na mizinga aliyopigiwa Rais Kabila ukiwaka
 Kabila akikagua gwaride la heshima

 Wakongo waishio nchini wakiwa na furaha wakati wa mapokezi ya rais wao





Msafara ukiondoka uwanjani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*