Rais wa DRC Congo Joseph Kabila akiwasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kuanza ziara ya siku tatu nchini. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Ndege iliyombeba Rais Joseph Kabila ikiwasili Dar es Salaam leo
Rais Kabila akiwa na furaha alipolakiwa na Rais John Magufuli
Kikundi cha ngoma cha JWTZ kikitumbuiza wakati wa mapokezi
Moto ulisababishwa na mizinga aliyopigiwa Rais Kabila ukiwaka
Kabila akikagua gwaride la heshima
Wakongo waishio nchini wakiwa na furaha wakati wa mapokezi ya rais wao
Msafara ukiondoka uwanjani
Ndege iliyombeba Rais Joseph Kabila ikiwasili Dar es Salaam leo
Rais Kabila akiwa na furaha alipolakiwa na Rais John Magufuli
Kikundi cha ngoma cha JWTZ kikitumbuiza wakati wa mapokezi
Moto ulisababishwa na mizinga aliyopigiwa Rais Kabila ukiwaka
Kabila akikagua gwaride la heshima
Wakongo waishio nchini wakiwa na furaha wakati wa mapokezi ya rais wao
Msafara ukiondoka uwanjani
Comments