Bomu lililorushwa na meli vita likiwa limelipuka eneo la adui wakati wa zoezi la kivita lililoshirikisha kombania zote za kijeshi yaani kutoka vikosi vya majini, anaga na nchi kavu na kushuhudiwa nna Amiri Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni katika Kijiji cha Baatini, Bagamoyo, mkoani Pwani jana. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Ndege vita zikipita eneo la mapambano wakati wa zoezi hilo.
Makamanda wakiongoza vita kwa mawasiliano
Meli vita zikielekea kwenye uwanja wa mapambano
Meli vita ikiwa sambamba na vifaru vikisogea uwanja wa mapambano.
Boti za kivita zikielekea uwanja wa mapambano
Vifaru vinavyoelea na kutembea ardhini vikiishambulia kwa mabomu eneo la maadui.
Kifaru kikitoka kwenye maji tayari kuingia nchi kavu sambamba na askari kwenda kuchambulia adui
Meli vita ikishusha askari wanaokwenda uwanja wa mapambano
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli ana Mkuu wa Majeshi, Jenerali Mwamunyange wakishuhudia zoezi hilo la kivita
Wapiganaji wakirejea baada ya ushindi
Bendi ya Mwenge Jazz ikitumbuiza askari waliofanikiwa kumfurumsha adui
Magufuli na Mwamunyange wakipiga saluti wakati wimbo wa taifa ukupigwa baada ya zoe4zi la kivita kumalizika
Wakipongezana
Amiri Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli akiwapongeza askari walioshiriki zoezi la kivita la kukomboa 'kisiwa kilichokaliwa na wadhalimu' lililoshirikisha jeshi la anga, nchi kavu na majini katika Kijiji cha Baatini, Saadani, wilayani Bagamoyo, Pwani juzi.
Rais Magufuli akiwapongeza askari wapiga mbizi watalaamu wa kutegua mabomu kwenye maji baharini
Askari wa Mgambo, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), walioshiriki zoezi hilo la kivita wakiwa na furaha baada ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli kumuagiza Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange waajiriwe na jeshi hilo na walio JWTZ wapandishwe vyeo.
Ndege vita zikipita eneo la mapambano wakati wa zoezi hilo.
Makamanda wakiongoza vita kwa mawasiliano
Meli vita zikielekea kwenye uwanja wa mapambano
Meli vita ikiwa sambamba na vifaru vikisogea uwanja wa mapambano.
Boti za kivita zikielekea uwanja wa mapambano
Vifaru vinavyoelea na kutembea ardhini vikiishambulia kwa mabomu eneo la maadui.
Kifaru kikitoka kwenye maji tayari kuingia nchi kavu sambamba na askari kwenda kuchambulia adui
Meli vita ikishusha askari wanaokwenda uwanja wa mapambano
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli ana Mkuu wa Majeshi, Jenerali Mwamunyange wakishuhudia zoezi hilo la kivita
Wapiganaji wakirejea baada ya ushindi
Bendi ya Mwenge Jazz ikitumbuiza askari waliofanikiwa kumfurumsha adui
Magufuli na Mwamunyange wakipiga saluti wakati wimbo wa taifa ukupigwa baada ya zoe4zi la kivita kumalizika
Wakipongezana
Amiri Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli akiwapongeza askari walioshiriki zoezi la kivita la kukomboa 'kisiwa kilichokaliwa na wadhalimu' lililoshirikisha jeshi la anga, nchi kavu na majini katika Kijiji cha Baatini, Saadani, wilayani Bagamoyo, Pwani juzi.
Rais Magufuli akiwapongeza askari wapiga mbizi watalaamu wa kutegua mabomu kwenye maji baharini
Askari wa Mgambo, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), walioshiriki zoezi hilo la kivita wakiwa na furaha baada ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais John Magufuli kumuagiza Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange waajiriwe na jeshi hilo na walio JWTZ wapandishwe vyeo.
Comments