RAIS MAGUFULI AWASHUSHA VYEO WALIOMDANGANYA UWANJA WA NDEGE DAR

 Rais John Magufuli akikagua mashine za kukagulia mizigo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo, na kuamuru kuwashusha vyeo wafanyakazi wawili wa uwanja huo, Lilliani Minja na Novia Maduka  waliomdanganya rais kuwa mashine za ukaguzi zinafanyakazi wakati siyo kweli alipofanya ziara Mei 13, mwaka huu. . (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Rais John Magufuli akimwamuru Kaimu Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam, Paul Rwegasha (katikati) kuwapunguza vyeo wafanyakazi wawili wa uwanja huo, Lilliani Minja na Novia Maduka  waliomdanganya rais kuwa mashine za ukaguzi zinafanyakazi wakati siyo alipofanya ziara Mei 13, mwaka huu. Kulia ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI