TFDA YANASA DAWA BANDIA LUKUKI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo  (katikati) akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Dawa na Bidhaa Nyongeza, Adonis Bitegeko  (kulia) na Msajili wa  Baraza la Famasi, Elizabeth Shekalaghe  wakionesha jana baadhi ya dawa bandia wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika jijini Dar es salaam. (PICHA NA ALLY DAUD-MAELEZO)
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo akionyesha baadhi ya dawa bandia zilizokamatwa baada ya ukaguzi maalum uliofanyika maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini wakati alipoongea na waandishi wa habari katika mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi wa dawa bandia huo jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo katikati akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini , wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa dawa na bidhaa Nyongeza Bw. Adonis Bitegeko na kushoto ni Msajili wa  Baraza la famasi Bi. Elizabeth Shekalaghe.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo hayupo pichani wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika jijini Dar es salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.