Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula
na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo (katikati)
akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Dawa na Bidhaa Nyongeza, Adonis Bitegeko (kulia) na Msajili wa Baraza la Famasi, Elizabeth Shekalaghe wakionesha jana baadhi ya dawa bandia wakati
wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia uliofanyika jijini
Dar es salaam.
(PICHA NA ALLY DAUD-MAELEZO)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula
na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo akionyesha baadhi ya dawa bandia zilizokamatwa
baada ya ukaguzi maalum uliofanyika maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu
Kusini wakati alipoongea na waandishi wa habari katika mkutano wa kutoa matokeo
ya ukaguzi wa dawa bandia huo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula
na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo katikati akiongea na waandishi wa habari hawapo
pichani wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa bandia
uliofanyika maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini , wa kwanza kulia
ni Kaimu Mkurugenzi wa dawa na bidhaa Nyongeza Bw. Adonis Bitegeko na kushoto
ni Msajili wa Baraza la famasi Bi.
Elizabeth Shekalaghe.
Baadhi ya waandishi wa habari
wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)
Bw. Hiiti Sillo hayupo pichani wakati wa mkutano wa kutoa matokeo ya ukaguzi
maalum wa dawa bandia uliofanyika jijini Dar es salaam.
Comments