WAFANYAKAZI WA MANISPAA YA UBUNGO WAUNGANA KUPANDA MITI KATIKA MANISPAA YAO JIJINI DAR LEO.


Kaimu Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo, Joseph Alute akipanda mti katika kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipowataka wakazi wa jiji la Dar es Salaam kupanda miti kwaajili ya kutunza mazingira pamoja na kupendezesha mazingira ya jiji.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari wakipanda mti jijini Dar es Salaam leo.

 

 Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dkt. Sivila Mwanisi akishirikiana na mfanyakazi wa manispaa ya Ubungo Kupanda miti ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam za kupanda miti  jijini Dar es Salaam leo.
 Wanafunzi wakiwa wamebeba miti kwaajili ya kupanda.
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari wakipanda miti jijini Dar es Salaam leo.




baadhi ya wafanyakazi wa manispaa ya Ubungo akipanda  miti jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Yasir Adam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.