HONGERA MKURUGENZI, MTANGULIZE MUNGU MBELE , BADO UNAYO SAFARI NDEFU ILI KUPATA MAFANIKIO


iv1
Bwana John Bukuku Mkurugenzi wa Mtandao wa Fullshangweblog na Mama Mkurugenzi kushoto wakimpongeza Mkurugenzi Mtarajiwa wa Fullshangwe Ivone John Bukuku mara baada ya kuhitimu mafunzo ya awali ngazi ya cheti kwenye chuo cha Saint Grory College Of Health and Allied Sciences jijini Dar es salaam katika ndoto yake ya Uuguzi kabla ya kuendelea na hatua nyingine ya mafunzo hayo.
iv2
Ivone akipozi kwa picha
iv3
Mkurugenzi John Bukuku na Mkurugenzi mtarajiwa Ivone wakipozi kwa picha.
iv4
Mkurugenzi mtarajiwa akipokea pongezi kwa simu mkurugenzi mwenza wa Fullshangwe ambaye yuko shule Kilimanjaro na hakuhudhuria mahafali ya dada yake.
iv5
Mkurugenzi mweza Diana John wa pili kutoka kulia yeye amempongeza mkubwa wake kwa hatua hiyo japo walipongezana kwa njia ya simu tu akiwa shuleni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI