MPENZI MPYA WA CRISTIANO RONALDO GUMZO, AONEKANA NAYE JIJINI PARIS




Baada ya kujificha muda mrefu, hatimaye Cristiano Ronaldo ameonekana akiwa na mpenzi wake moya aitwaye, Georgina Rodriguez.

Ronaldo na mpenzi wake huyo mpya wameonekana mjini Paris, Ufaransa na kuzua gumzo kubwa, jana.
Lakini kilichowashangaza wengi zaidi ni Ronaldo kuvaa nguo zilizomficha akionekana alilenga kukwepa kujulikana.

Usiku wa kuamkia leo, licha ya kuwa na mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, gumzo la mpenzi mpya limeonekana kuchukua nafasi kubwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA