Muonekano wa ndani wa Ndege ya Donald Trump


Rais Mteule wa Marekani Donald Trump anazidi kuzimiliki headlines kubwa wakati ikijiaandaa kuingia Ikulu ya White House. Mbali na nafasi aliyoipata mfanyabiashara huyo tajiri, tunafahamu kuwa Trump anamiliki ndege yake binafsi ambayo ndiyo anayoitumia kwenye safari zake kama usafiri wake binafsi.
Ndege hiyo aina ya Boeing 757  imetajwa kuwa na thamani ya £63m ambazo ni zaidi ya shilingi billioni 147 za kitanzania, ina uwezo wa kubeba abiria 239, ndani yake kuna Sinki la kunawia ambalo limetengenezwa kwa Gold pia seat zake ni sofa zenye urembo wa Gold.
1415983502244_wps_11_billionaire_donald_trump_
1415983507971_wps_13_an_interior_shot_of_the_t
1415983565787_image_galleryimage_an_interior_shot_of_the_t
1415983600458_image_galleryimage_billionaire_donald_trump_
1415983602581_wps_28_an_interior_shot_of_the_t
1415983652863_wps_34_billionaire_donald_trump_
1415983709944_wps_35_billionaire_donald_trump_
1415984682439_wps_50_billionaire_donald_trump_
a949f919d5b80c376c82340bd9207161
inside-trump-force-one-donald-trumps-private-boeing-757
VIDEO: Ulimiss hii ya maneno ya mbunge Kangi Lugola baada ya ushindi wa Donald Trump

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI