Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye (kulia) akipokea
picha ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoka
kwa Mwenyekiti wa Angavu Youth Group Athumani Salum (kulia) leo jijjini Dar es
Salaam. Picha hiyo imechorwa kwa ustadi na kikundi cha Angavu Youth Group.
Muonekano
wa picha ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli iliyoichora kwa ustadi na
kikundi cha Angavu Youth Group ambapo imekabidhiwa jijini Dar es Salaam kwa
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye kwa niaba ya
Mheshimiwa Rais.
Comments