PROF. NDALICHAKO AFUNGA MKUTANO WA AGA KHAN WA UBORESHANI SEKTA YA ELIMU NCHINI

 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akihutubia alipokuwa akifunga mkutano wa wadau wakiwemo wabunge wa kuboresha sekta ya elimu nchini mjini Dodoma jana. Mkutano huo wa siku mbili uliandaliwa na Chuo Kikuu cha Aga Khan.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Aga Khan, Profesa JoeLugalla akielezea mambo mbalimbali waliyokubaliana katika mkutano huo jinsi wadau wanavyotakiwa kusaidiana na serikali kuboresha elimu nchini.
 Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati Profesa Ndalichako akifunga mkutano huo uliofanyika kwenye Hoteli ya Morena.





 Profesa Ndalichako akiwaeleza washiriki kwamba suala la uboreshaji wa elimu nchini litafanikiwa kwa wadau kushirikiana na serikali.
 Profesa Lugalla akimpongeza Profesa Ndalichako
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Kitilya Mkumbo akimpongeza Profesa Ndalichako kwa hotuba yake nzuri.
 Dk. Mkumbo akitoa neno la shukrani kwa Profesa Ndalichako na wadau wengine wa elimu kwa kushiriki katika mkutano huo.
 Meza Kuu ikiongozwa na Profesa Ndalichako wakipiga makofi baada ya kufurahishwa na hotuba ya Dk. Mkumbo
Profesa Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa elimu walioshiriki katika mkutano huo umuhimu kwa uhai wa elimu nchini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.