PROFESA MWANDOSYA ALIPOKUTANA NA ASKOFU TUU AFRIKA KUSINI 1992

 Nikimkabidhi Mwadhama Baba Askofu Mkuu wa Kanisa la Kianglikana Afrika ya Kusini, Baba Askofu Desmond Tutu, zawadi ya kutoka Tanzania. Hii ilikuwa mwaka 1992 nilipomtembelea Makazi ya Askofu Mkuu, CapeTown, Afrika ya Kusini nilipofanya ziara siku chache tu baada ya Mzee Nelson Mandela kitoka gerezani. Nikiwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini, katika ziara hiyo niliongozana na Mama Lucy Mwandosya, na Patrick Rutabanzibwa wakati ule akiwa Afisa Mwandamizi wa sekta ya Nishati.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*