TASWIRA TATU KOCHA GERORGE LWANDAMINA ALIVYOANZA KUINOA YANGA KWA MARA YA KWANZA


Kocha George Lwandamina rasmi leo ameanza kazi ya kukinoa kikosi chake cha Yanga kwa mara ya kwanza.

Lwandamina raia wa Zambia ameanza kazi kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi Kilwa Road jijini Dar es Salaam.



Awali, uongozi wa Yanga ulimficha kocha huyo hadi blog hii ya SALEHJEMBE ilipomfichua na kufanya naye mahojiano ya kwanza.



Ameanza kazi ikiwa ni mara ya kwanza baada ya likizo ambayo walipewa na aliyekuwa kocha mkuu, Hans van der Pluijm.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.