Michezo ya Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017 inaendelea kama kawaida kwa leo November 26 kwa michezo kadhaa kuchezwa, mechi kati ya Burnley dhidi ya Man Cityilikuwa ni miongoni mwa michezo iliyochezwa leo.
Man City walikuwa ugenini katika dimba la Burnley kucheza mchezo wao huo wa 13 wa Ligi Kuu England, katika mchezo huo Man City walifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-1, magoli ya Man City yakifungwa na Sergio Kun Aguero dakika ya 37 na 60 wakati goli la Burnley lilifungwa na Dean Marney dakika ya 14.
Comments