Preview YouTube video Swali La Mbowe Kwa Waziri Mkuu
Preview YouTube video Suala La Fedha Za Maendeleo Kwa Halmashauri Nchini
Preview YouTube video Swali La Mbunge Waitara Kuhusu Kufilisika Kwa Serikali
Preview YouTube video Kauli Ya Serikali Kuhusu Kodi Kwa Wafanyabiashara
Preview YouTube video Suala La Pembejeo Kufika Kwa Wakati Kwa Wakulima
Preview YouTube video Ujenzi Wa Hospitali Ya Wilaya Jimbo La Solwa
Preview YouTube video Suala La Wafanyabiashara Wadogo Nchini
Preview YouTube video Mbunge Joseph Mbilinyi 'SUGU' Awatetea Machinga
Preview YouTube video Tatizo La Maji Mkoani Ruvuma
Preview YouTube video Uwingi Wa Wafungwa Gereza La Tarime Mjini
Preview YouTube video Tanzania Ya Viwanda
Preview YouTube video Mbunge Godless Lema Aibana Serikali Kuhusu Kiwanda Cha General Tyre
Preview YouTube video Kupandsishwa Hadhi Kwa Hospitali Ya KKT Haydom
Preview YouTube video Swali La Mbunge Yahya Kuhusu Barabara Ya Mkiwa Singida
Preview YouTube video Suala La Daraja La Kigamboni Kuitwa Jina La Nyerere badala Aboud Jumbe
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments