YANGA YAIBAMIZA RUVU SHOOTING WALALA 2-1 UHURU


Wachezaji wa Yanga wakimpongeza kiungo Haruna Niyonzima (katikati kulia) baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 56 wakiilaza 2-1 Ruvu Shooting jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ruvu Shooting walitangulia kwa bao la Abrahman Mussa dakika ya saba kabla ya Simon Msuva kuisawazishia Yanga dakika ya 32 akimalizia pasi ya Nahodha Niyonzima
Simon Msuva akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Mao Bofu
Kiungo wa Ruvu, Said Madega (katikati) akipambana na washambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) na Amissi Tambwe (kushoto)
Tambwe akimtoka Shaibu Nayopa wa Ruvu Shooting
Haruna Niyonzima (kushoto) akimtoka Mau Boffu
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Ruvu, Renatus Kisase

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.