Magari ya kifahari yaliyoendeshwa na mastaa wa Tanzania 2016


on
Kupitia XXL ya Clouds FM iliyoruka December 29, 2016 imetajwa list ya magari yanayomilikiwa na yaliyowahi kumilikiwa na watu maarufu wakiwemo mastaa wa muziki, watangazaji na wacheza filamu. Kwa mujibu wa B Dozen amesema kigezo kilichotumika kuipanga list hii pamoja na mastaa hao kuthibitisha kumiliki magari hayo pamoja na kukutwa wakiyaendesha magari hayo mwaka 2016.
Hapa ni picha 10 za magari hayo.
1. Masoud Kipanya (MTANGAZAJI WA RADIO) – Hummer H3 

2. Diamond Platnumz (MSANII BONGOFLAVA) & Masanja Mkandamizaji (COMEDIAN) – BMW X6 
BMW X6 TYCOON
3. Quick Rocka (MSANII BONGOFLAVA) – Range Rover Spot

4. Wema Sepetu (MREMBO/MCHEZA FILAMU) – Range Rover E Vogue

5. Gadner G Habash (MTANGAZAJI WA RADIO) & Shetta (MSANII BONGOFLAVA) – Discovery 3

6. Alikiba (MSANII BONGOFLAVA) – BMW X5

7. Madee (MSANII BONGOFLAVA)-  Toyota Prado

8. Nay wa Mitego (MSANII BONGO FLAVA) – Toyota Prad0

9. Idriss Sultan (COMEDIAN/MTANGAZAJI WA RADIO)- BMW M3, Altezza & Harrier

10. Professa Jay (MBUNGE/MSANII HIP HOP) – Land Cruiser V8

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*