MJENGO WA PROF.MWANDOSYA KIJIJINI KWAKE LUFILYO,RUNGWE, MKOANI MBEYA

HAYA NDO MANENO YAKE YA LEO
Ili nisichelewe, nachukuwa nafasi hii kuwatakia ndugu, marafiki, na watanzania wenzangu sikukuu ya Noeli na Mwaka Mpya zilizojaa neema, upendo na amani. Tusherehekee mwisho huu wa mwaka 2016 kwa kukumbuka na kushukuru jinsi Mola alivyotupenda kutupa uhai kuifikia siku ya leo, tukiwakumbukuka wenzetu ambao hatunao, wakiwa wametutangulia mbele ya haki. Kwa wale mtakaokuwa Nyanda za Juu za Kusini, na hakika popote pale, karibuni nyumbani kwetu, kijijini Lufilyo, Busokelo, Wilaya ya RungweπŸ‘‡.
Wishing you All a Joyous Chrismas and a Happy and Blessed New Year.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.