Serena Williams achumbiwa



Serena
Image captionSerena Williams na mchumba wake Alex Ohanian
Nyota wa mchezo wa mpira wa tennis, Serena Williams, ameweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mmoja wa waanzilishi wake Alex Ohanian kwenye mtandao wa kijamii.
Katika shairi aliloliweka katika ukurasa wake aliandika jinsi Alex alivyompeleka katika mgahawa mmoja mjini Rome, eneo ambalo walikutana kwa mara ya kwanza mwaka mmoja uliopita.
Siku ambayo alipiga magoti na kuweka pete kwenye kidole chake na kusema maneno manne na yeye akasema ndio.
Mwezi wa saba, Willliams alishinda medali ya Wimbledon kwa mara ya saba na mwezi wa tisa aliweza kuchukua nafasi ya Roger Federer', ambaye alikuwa mshindi wa mechi za Grand MATCH kwa kipindi kirefu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI