ULEGA AENDELEA NA ZIARA YA KUWASHUKURU WANANCHI JIMBONI KWAKE


Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kibuyuni Kata Panzuo, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao, hususani ile ya Mifugo kuharibu vyanzo vya maji pamoja na mazao yao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mkuruwili, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Mbulali FC inayo shiriki kombe la Ulega.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Nyatanga FC.






Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*