Preview YouTube video Ofisi Za Kijiji Zateketea Kwa Moto
Preview YouTube video Wakulima Wa Mboga Waangua Vilio Dodoma
Preview YouTube video Waziri Mkuu Aendesha Harambee Ya Ujenzi Wa Shule
Preview YouTube video Wanaochoma Matairi Kusherekea Mwaka Mpya Waonywa
Preview YouTube video TBC Na Startimes Zatakiwa Kuboresha Matangazo Yake
Preview YouTube video Cheka Afungiwa Miaka Miwili Kushiriki Katika Ngumi
Preview YouTube video Wanamichezo Watakiwa Kuhimiza Amani Na Usalama
Preview YouTube video Azam Yapongezwa Kwa Uamuzi Wa Kumfukuza Kocha
Preview YouTube video EWURA Yaridhia Ombi La TANESCO Kuongeza Bei Ya Umeme
Preview YouTube video Waliotumia Fedha Za Ujenzi Wa Mji Geita Wasakwa
Preview YouTube video Uhaba Wa Mbegu Bora Rukwa
Preview YouTube video Itunduma Waondokana Na Kero Ya Maji
Preview YouTube video Watanzania Wahimizwa Kupanda Miti
Preview YouTube video Jeshi La Polisi DSM Laonya Wanaofanya Uhalifu
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments