DIAMOND AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KUTUMBUIZA UZINDUZI WA AFCON

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (Kushoto) akikabidhi Bendera ya Taifa kwa Mwanamuziki wa nyimbo za Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Dar es Salaam leo, kabla ya kwenda kuliwakilisha Taifa kwa kufanya shoo wakati wa ufunguzi wa michuano ya Soka Barani Afrika (AFCON 2017). Wapili kulia ni Balozi wa DStv, Lucas Mhavile ‘Joti’. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA