Ngoma ya Muziki ya Darassa Yaiteka Dar Live


darassa-dar-live-8
Staa wa Hip Hop Bongo, Shariff Thabeet ‘Darassa’ akifanya makamuzi Mkesha wa Mwaka Mpya katika mpambano wa Nichane Nikuchane Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakheem jijini Dar.
darassa-dar-live-7
darassa-dar-live-9
Darassa akisalimiana na mashabiki wake kabla ya kuanza shoo.
darassa-dar-live-11
…Alianza kwa kuimba Wimbo wa Too Much.
darassa-1
Darassa akifanya makamuzi.
darassa-4darassa-5
Mashabiki wakiomba Darassa arudie ngoma ya Muziki.
darassa-6
Mashabiki wakipagawa na ngoma mpya ya muziki.
darassa-8
Akiendelea na shoo.
darassa-dar-live-8
darassa-dar-live-10
Acha maneno weka muzikiiii… Darassa akiendelea kukamua
darassa-dar-live-12
darassa-dar-live-15
Mkesha wa Mwaka Mpya uli-happen ile mbaya ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live ambao shoo ya kibabe ya Chana Nikuchane ilirindima, R.O.M.A Mkatoliki akioneshana kazi na mkali wa Ngoma ya Muziki, Darassa. Baada ya wasanii wa utangulizi kufanya yao, walipanda wengine kama Msaga Sumu, Pam D na Jahazi Modern Taarab lakiniyote tisa, kumi ni Darassa alipopanda jukwaani.
Unaambiwa alilazimika kuurudia wimbo wake wa Muziki mara nne kutokana na mashabiki kumtaka afanye hivyo, mpaka ikawa Too Much! Jamaa alifanikiwa kinomanoma kuzikonga nyoyo za mashabiki wake ambapo alikula shangwe za kufa mtu huku mashabiki wengine wakishindwa kuzizuia hisia zao. Ilibidi mabaunsa wafanye kazi ya ziada kudhibiti mizuka ya mashabiki hao. Ilikuwa poa sana!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI