OBAMA ATOA HOTUBA YA KUWAAGA WAMAREKANI ILIYOWALIZA WENGI

 Rais Obama akiwaaga Wamarekani katika hafla maalumu
 rAIS oBAMA

Obama akikumbatiana na mkewe Michelle baada ya kuaga

Rais Barack Obama, Jumanne hii huko jijini Chicago ametoa hotuba yake ya mwisho kuwaaga Wamarekani baada ya kuwatumikia kwa miaka minane.
Obama anaondoka na historia ya kuwa Mmarekani Mweusi wa kwanza kuwa Rais wa nchi hiyo. Ameshika nafasi hiyo kwa mihula miwili
Kwenye hotuba hiyo iliyokuwa imejaa hisia na simanzi, Rais Obama amewataka Wamarekani kulinda demokrasia yao.
Kuhusu masuala ya rangi kwenye hotuba yake Obama amesema: After my election, there was talk of a post-racial America. Such a vision, however well-intended, was never realistic. For race remains a potent and often divisive force in our society. I’ve lived long enough to know that race relations are better than they were 10, or 20, or 30 years ago
Amewataka Wamarekani wa kila kundi kufikiria mambo kwa mtazamo wa kila mmoja na kuwataka wasikilizane. Wafuasi wake walisikika wakipiga kelele ‘miaka mine tena’ lakini kwa tabasamu akawajibu ‘siwezi kufanya hivyo.’
Michelle akimkumbatia kwa hisia kali mume wake Barack Obama baada ya kupanda jukwaani kuungana naye
Kwenye hotuba hiyo, Obama amemuelezea mkewe Michelle: Michelle LaVaughn Robinson, girl of the South Side, for the past 25 years, you’ve been not only my wife and mother of my children, you have been my best friend. You took on a role you didn’t ask for and you made it your own with grace and grit and style and good humour. You made the White House a place that belongs to everybody.
Mastaa wengi wa Marekani wameonesha kumlilia Obama kupitia mitandao ya kijamii na kumpongeza kwa utawala wake. Chini ni miongoni mwao:
Karrueche 
Please don’t go 😢
Jamie fox 
will never forget when you became our president… there will never be another one like you…. class… Compassion… And courage!!!
Michelle na Barack Obama wakiwaaga watu waliokuwa waliohudhuria hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani
Martin Lawrence
Sad to see you go. You served our country with such class and dignity. #Obama #MichelleObama #Hope #YesWeCan #YesWeDid #BlackHistory
Anthony Hamilton
This Is Embedded in My Soul. The Image Of True Black Love. Go On Y’all! Represented Us Well. Let’s continue the legacy.
Malia Obama (kushoto) akiwa na wazazi wake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI