Rais Obama akiwaaga Wamarekani katika hafla maalumu
rAIS oBAMA
rAIS oBAMA
Obama akikumbatiana na mkewe Michelle baada ya kuaga
Rais Barack Obama, Jumanne hii huko jijini Chicago ametoa hotuba yake ya mwisho kuwaaga Wamarekani baada ya kuwatumikia kwa miaka minane.
Kwenye hotuba hiyo iliyokuwa imejaa hisia na simanzi, Rais Obama amewataka Wamarekani kulinda demokrasia yao.
Amewataka Wamarekani wa kila kundi kufikiria mambo kwa mtazamo wa kila mmoja na kuwataka wasikilizane. Wafuasi wake walisikika wakipiga kelele ‘miaka mine tena’ lakini kwa tabasamu akawajibu ‘siwezi kufanya hivyo.’
Kwenye hotuba hiyo, Obama amemuelezea mkewe Michelle: Michelle LaVaughn Robinson, girl of the South Side, for the past 25 years, you’ve been not only my wife and mother of my children, you have been my best friend. You took on a role you didn’t ask for and you made it your own with grace and grit and style and good humour. You made the White House a place that belongs to everybody.
Mastaa wengi wa Marekani wameonesha kumlilia Obama kupitia mitandao ya kijamii na kumpongeza kwa utawala wake. Chini ni miongoni mwao:
Karrueche
Please don’t go
Please don’t go
Jamie fox
will never forget when you became our president… there will never be another one like you…. class… Compassion… And courage!!!
will never forget when you became our president… there will never be another one like you…. class… Compassion… And courage!!!
Martin Lawrence
Sad to see you go. You served our country with such class and dignity. #Obama #MichelleObama #Hope #YesWeCan #YesWeDid #BlackHistory
Sad to see you go. You served our country with such class and dignity. #Obama #MichelleObama #Hope #YesWeCan #YesWeDid #BlackHistory
Anthony Hamilton
This Is Embedded in My Soul. The Image Of True Black Love. Go On Y’all! Represented Us Well. Let’s continue the legacy.
Comments