RAIS MAGUFULI ATEMBELEA KIJIWE CHA RAFIKI YAKE SHOE SHINER CHATO

 Rais John Magufuli akiwa katika benchi la kibanda cha kupigia viatu kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine wa Chato katika Stendi ya zamani ya Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho Rais Dkt. Magufuli alichokuwa aking’arishiwa viatu  vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo alikuwa akipenda kukaa na kubadilishana mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa mapumzikoni kipindi cha nyuma.

 . Rais John Magufuli akifurahia pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita leo. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza hadi la Saba. Rais amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwa sababu yeye pia alisoma shuleni hapo. (PICHA NA IKULU)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI