Rais John Magufuli akiwa katika
benchi la kibanda cha kupigia viatu kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine
wa Chato katika Stendi ya zamani ya Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi
ndicho Rais Dkt. Magufuli alichokuwa aking’arishiwa viatu vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo
alikuwa akipenda kukaa na kubadilishana mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa
mapumzikoni kipindi cha nyuma.
. Rais John Magufuli akifurahia pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita leo. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza hadi la Saba. Rais amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwa sababu yeye pia alisoma shuleni hapo. (PICHA NA IKULU)
. Rais John Magufuli akifurahia pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita leo. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza hadi la Saba. Rais amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwa sababu yeye pia alisoma shuleni hapo. (PICHA NA IKULU)
Comments