Picha ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt Ali Mohammed Shein pamoja na kaimu katibu mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani Dkt Ali Mohammed Shein wa kwanza kushoto akizungumza na viongozi wa UVCCM pili kushoto Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka na wakwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu UVCCM Tanzania Zanzibar Abdulhafar Idrissa Juma Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Visiwani Dkt Ali Mohammed Shein akiagana na kaimu katibu mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu mjini Zanzibar.
Comments