VIDEO: VITUKO VYA USWAHILINI AVAA DERA LA MKEWE BAADA YA KUPIGIWA SIMU YA HELA!




Uswahilini ni sehemu ambayo inaongoza kwa vituko, ugomvi na maneno ya shombo. Wahenga  walisema kuishi kwingi ndio kuona mengi,  Haraka Haraka haina baraka  hii misemo inamaanaisha ukiishi sehemu tofauti tofauti utaona vitu vingi na kujifunza pia. Haraka haraka haina baraka hii imebeba maana ya kwamba ukienda haraka unaweza kukosea au kusahau kitu muhimu.
Tumia dakika zako chache kuitazma short video, ya uswahilini iliyo chezwa na Vicent Petro (Mr.Kilaka) Husina, Moses & Ziada Mgwassa (Zaydar). Endelea kusapport sanaa ya Tanzania tunaamini bila wewe hatuwezi fika popote thanks. Kwa maelezo na taarifa yeyote wasiliana nasi kwenye 0658161950.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.