MIMBA YA PACHA YAMSUMBUA BEYONCE

Beyonce Knowles
STAA wa muziki, Beyonce Knowles kila mtu anajua alivyobeba mapacha tumboni kwake kwa sasa baada ya kutangaza na kuonesha tumbo live lakini ujauzito huo umeonekana kumsumbua kuliko ujauzito wa mwanaye wa kwanza, Blue Ivy.
Mtu wa karibu na familia hiyo ameuambia mtandao mmoja kuwa, Beyonce amekuwa akisumbuliwa na ujauzito huo hasa nyakati zasubuhi ambapo hupata kizunguzungu, usingizi, pamoja na kichefuchefu cha mara kwa mara na ikifi ka usiku kichwa humuuma sana.
Beyonce Knowles
Sosi huyo alisema: “Pamoja na matatizo hayo anayoyapitia lakini ni mwanamke anayejikaza na sapoti kubwa anaipata kwa mumewe (Jay Z) ambaye huwa naye karibu wakati wote hasa kwa kumnunulia maua, chokuleti na kumpetipeti kwani ana hamu ya kupata mapacha hao.”

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.