Lawrence Masha
Ezekiel Wenje
Kamati Kuu ya CHADEMA imewateuwa Ezekia Dibogo Wenje na Lawrence Kego Masha kuwa wagombea Ubunge Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Masha ni waziri wa zamani wa Mabo ya Ndani ya Nchi na Wenje alikuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela.
Bunge la EALA litakuwa na wabunge tisa kutoka Tanzania, ambapo CCM itakuwa na wabunge 6 na upinzani wabunge 3.
Leo katika Ofisi za CCM Lumumba kulikuwa na mchakato wa udahili zaidi ya wanachama 350 ambapo kila mmoja altoa sh 100,000 za kuchukulia fomu za kuomba kuingia kwnye kinyang'anyiro hicho.
Ezekiel Wenje
Kamati Kuu ya CHADEMA imewateuwa Ezekia Dibogo Wenje na Lawrence Kego Masha kuwa wagombea Ubunge Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Masha ni waziri wa zamani wa Mabo ya Ndani ya Nchi na Wenje alikuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela.
Bunge la EALA litakuwa na wabunge tisa kutoka Tanzania, ambapo CCM itakuwa na wabunge 6 na upinzani wabunge 3.
Leo katika Ofisi za CCM Lumumba kulikuwa na mchakato wa udahili zaidi ya wanachama 350 ambapo kila mmoja altoa sh 100,000 za kuchukulia fomu za kuomba kuingia kwnye kinyang'anyiro hicho.
Comments