Waziri mpya wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akilakiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Zamaradi Kawawa alipowasili katika Idara hiyo mara baada ya kutoka kuapishwa na Rais John Magufuli Ikulu, Dar es Salaam leo. Wengine ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari Leo, Abdallah na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba. PICHA ZOTE NA DALILA SHARIF
Mwakyembe akiingia Idara ya Habari Maelezo
Dk. Mwakyembe akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Maelezo na wizara hiyo.
Mwakyembe akiingia Idara ya Habari Maelezo
Dk. Mwakyembe akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Maelezo na wizara hiyo.
Comments