MAKAMU MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA, BALILE AWAPONGEZA RAIS, MWAKYEMBE KUMUACHIA HURU NAY WA MITEGO
Nilikuwa na hofu, tulijuwa na hofu juu ya ujio wa Dk. Mwakyembe katika Wizara ya Habari.
Hata hivyo, kwa kauli aliyoitoa Dodoma Leo ya kumwachia Ney wa Mitego na kuruhusu wimbo wa WAPO uendelee kupigwa katika vituo vyote vya redio na ushauri wa Rais kwamba aongeze ujumbe mwingine kwa hoja na msingi kwamba ni UHURU WA KUTOA MAWAZO ninefarijika.
Nampongeza Mhe. Rais Magufuli, nampongeza Mhe. Mwakyembe kwa kusimamia upatikanajibwa Uhuru wa Kutoa Mawazo unaotolewa na Katiba. Kudos.
Balile
Comments