Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa maelezo ya utangulizi kwa Waheshimiwa Wabunge wakati wa Mkutano wa uwasilishaji wa Mpango wa ukomo wa kiwango cha Bajeti uliofanyika leo katika ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na anaefuata ni Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia).
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (katikati) akiongoza Mkutano wa uwasilishaji wa Mpango wa ukomo wa kiwango cha Bajeti kwa Waheshimiwa Wabunge uliofanyika leo katika ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na kushoto kwake ni Naibu Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Comments