SAMATTA ATUA DAR AKIWA KAMILI GADO, AJIUNGA NA TAIFA STARS

SAMATTA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA), USIKU HUU.

Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta ametua nchini tayari kujiunga na kikosi cha Taifa Stars.
Stars inajiandaa kucheza na Botswana katika mechi ya kirafiki itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi.

Baada ya mechi hiyo, Stars itacheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Burundi. Samatta ndiye ataongoza kikosi hicho akiwa nahodha.

MSEMAJI WA TFF, ALFRED LUCAS MAPUNDA (KULIA) AKIWA JNIA KUMPOKEA SAMATTA

Tayari kikosi cha Stars chini ya Kocha Salum Mayanga kimeanza mazoezi kujiandaa na mechi hizo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.