Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaidiana na watu walio kwenye msafara wake kuweka mawe barabarani eneo ambalo magari ya msafara huo yalikwama katika Barabara ya Namanyere Wampembe, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa. Kinana alikuwa anakwenda katika Kata ya Wampembe Jimbo la Nkasi Kusini kufanya mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.
Viatu na suruali aliyovaa Kinana vikiwa vimechafuka wakati wa harakti za kushiriki kuyanasua magari katika barabara hiyo
Kinana akishirikiana na wananchi kulinasua gari la Polisi lililokwama katika barabara hiyo mbovu
Baadhiyanahabari walio kwenye msafara wa Kinana, Elisha Eliya wa TBC (kushoto) na Halima Mlacha wa Habari Leo (katikati) wakiungana na wananchi kubeba mawe kwa ajili yakweka eneo lililoharibika ili mari yaiyokwama yaweze kupita
Wananchi nao wakisaidia kubeba mawe
Kinana akiwapiga picha wanahabri waliokuwa wamechoka katika harakati za kuiweka sawa barabara
Wananchi wa Kijiji cha Wampembe wakipiga makofi kumlaki Kinana
Kinana akikagua ujenzi wa zahanati katika Kijiji cha Wampembe
Kinana akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Wampembe
Moja ya magari yaliyo kwenye msafara likipita eneo lenye utelezi
Baadhi ya watu walio kwenye msafara wa Kinana wakiangalia magari yakipita kwenye eneo lenye utelezi baada ya kuamriwa kushuka ili magari yapite kirahisi katika eneo hilo.
Gari la polisi likisukumwa eneo hilo korofi
Kinana akipita kando ya eneo korofi lililosababisha magari kukwama katika barabara hiyo, ambayo Kinana ameahidi ujnzi wake kuuhamishia Tanroads badala ya sasa kusimamiwa na Halmashauri ya Nkasi yenye uwezo mdogo wa kifedha za kujengea barabaa hiyo
Wananchi liokuwa kwenye msafara wa Kinana wakiangalia mti wa Mnyangenyange unaodhaniwa kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume na za kike
Mjumbew NEC CCM,Ali Karume akihutubia katika kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi
Kinana akihutubia katika Kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi,usiku baada y wananci kuusimamisha msafara wake uliokuwa ukitokea Kata ya Wampembe.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO
Viatu na suruali aliyovaa Kinana vikiwa vimechafuka wakati wa harakti za kushiriki kuyanasua magari katika barabara hiyo
Kinana akishirikiana na wananchi kulinasua gari la Polisi lililokwama katika barabara hiyo mbovu
Baadhiyanahabari walio kwenye msafara wa Kinana, Elisha Eliya wa TBC (kushoto) na Halima Mlacha wa Habari Leo (katikati) wakiungana na wananchi kubeba mawe kwa ajili yakweka eneo lililoharibika ili mari yaiyokwama yaweze kupita
Wananchi nao wakisaidia kubeba mawe
Kinana akiwapiga picha wanahabri waliokuwa wamechoka katika harakati za kuiweka sawa barabara
Wananchi wa Kijiji cha Wampembe wakipiga makofi kumlaki Kinana
Kinana akikagua ujenzi wa zahanati katika Kijiji cha Wampembe
Kinana akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Wampembe
Moja ya magari yaliyo kwenye msafara likipita eneo lenye utelezi
Baadhi ya watu walio kwenye msafara wa Kinana wakiangalia magari yakipita kwenye eneo lenye utelezi baada ya kuamriwa kushuka ili magari yapite kirahisi katika eneo hilo.
Gari la polisi likisukumwa eneo hilo korofi
Kinana akipita kando ya eneo korofi lililosababisha magari kukwama katika barabara hiyo, ambayo Kinana ameahidi ujnzi wake kuuhamishia Tanroads badala ya sasa kusimamiwa na Halmashauri ya Nkasi yenye uwezo mdogo wa kifedha za kujengea barabaa hiyo
Wananchi liokuwa kwenye msafara wa Kinana wakiangalia mti wa Mnyangenyange unaodhaniwa kuwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume na za kike
Mjumbew NEC CCM,Ali Karume akihutubia katika kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi
Kinana akihutubia katika Kijiji cha Ntemba wilayani Nkasi,usiku baada y wananci kuusimamisha msafara wake uliokuwa ukitokea Kata ya Wampembe.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO
Comments