Mkurugenzi wa Habari
na Uenezi wa Mawasiliano ya Umma Chama cha Wananchi CUF, Abdul Kambaya
akizungumza jijini Dar es Salaam , kuhusu tukio la kuvamiwa kwa kikao cha
Chama hicho na kupigwa kwa baadhi ya waandishi hivi karibuni.Kushoto ni Mkurugenzi
wa Mipango na Uchaguzi CUF, Mneke Jaffar. (PICHA NA VENANCE NESTORY)
Mkurugenzi wa Habari
na uenezi wa Mawasiliano ya Umma Chama cha Wananchi CUF, Abdul Kambaya
akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu tukio la kuvamiwa kwa kikao cha
Chama hicho na kupigwa kwa baadhi ya waandishi hivi karibuni.Kushoto ni Mkurugenzi
wa Wanawake CUF, Salma Massoud, Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi CUF, Mneke
Jaffar na Mkurugenzi wa Ulinzi, Massoud Mhina. (PICHA NA VENANCE NESTORY)
Comments