HABARI MPASUKOOO1111 RAILA ODINGA ATEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA UPINZANI

Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya, NASA, umemteua Mhe. Raila Odinga kuwa mgombea Urais na Kalonzo Musyoka kuwa Naibu Rais. Mwezi uliopita nilipokuwa Nairobi nilikutana na kuzungumza na Mhe. Raila kwa Dakika kadhaa kwenye Mkutano wa Vyama vya Kiliberali barani Afrika . Lakini nilipata fursa ya kushiriki naye katika kundi kazi la viongozi wachache kwa siku nzima. Raila alinihakikishia kuwa NASA haitavunjika, leo nashuhudia kauli yake ikiwa ukweli mtupu. NASA has spoken it clearly, it is Raila Odinga! Hongereni NASA!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA