RAIS WA KOREA KASKAZINI AMUAPISHA MWANAYE WA MIAKA 9 KUWA LUTENI WA JESHI

Rais Kim jong ..wa korea kaskazini amemuapisha mwanae wa kiume Kim lau jong un ll mwenye umri wa miaka 9 kua luten wa jeshi la nchi hiyo , yakiwa ni maandalizi ya kumuandaa kijeshi mtoto huyo ili badae awe mkuu wa majeshi ..
Ikumbukwe kua kabla ya kuapishwa Kim lau amepitia mafunzo ya kijeshi akiwa na umri wa miaka saba na kufaulu kua afisa wa jeshi .
Mtoto huyu hajasoma elimu yoyote zaidi ya elimu ya kijeshi ..na kuandika historia ya kua luten mwenye umri mdogo dunia nzima 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*