CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE (TAWLA) CHAFANYA MKUTANO WAKE WA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM


1
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka akfungua mkutano wa mwaka wa Chama hicho ulioshirikisha wanachama wake ambao ni wanasheria wanawake, Mkutano huo umefanyika leo kwenye Hoteli ya New Afrika jijini Dar es salaam na kujadili mambo kadhaa yakiwemo mafanikio na changamoto zinazokabili chama chao pamoja na jamii kwa ujumla wake.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
2 3
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA) na Lulu Ngwanakilala Mtoa mada katika mkutano huo wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyojadiliwa na washiriki wa mkutano huo.
4
Mtoa mada Shamshard Remhamtulla akizungumza katika mmkutano huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
5
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA_
6
Lulu Ngwanakilala Mtoa mada akizungumza jambo na washiriki wa mkutano wa Chama cha Wanasheria wanawake wa mwaka uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
7
Mtoa Mada Madeline Kimei kulia akijiandaa kutoa mada katika mkutano huo.
9
Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA) akielezea baadhi ya taratibu katika mkutano huo.
10
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo Wanasheria wanawake wakifuatilia mada.
11 12 13 14
Kutoka kulia ni Mary RichardLatifa Mwabondo na Khadija Ngasongwa wanachama wa (TAWLA) wakiwa katika mkutano huo.
15 16
Madeline Kimei Mtoa mada wa mkutano huo pamoja na washiriki wengine wakiwa katika mkutano huo.
17
Jaji wa Mahakama Kuu Jaji Leila Ngonya pamoja na washiki wengine wanachama wa (TAWLA) wakiwa katika mkutano huo.
18
Josephine Arnold kutoka (TAWLA) akimsajili mshiriki wa mkutano huo na mwanachama wa (TAWLA) Bi. Mariam Mungula
19
Washiriki mbalimbali wakijisajili kwa ajili ya kushiriki mkutano huo.
21
Mmoja wa watoa mada Balozi Mwanaidi Sinare Maajar kushoto akifuatilia jambo katika mkutano huo kulia ni Mariam Mungula na baadhi ya washiriki.
22

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA