AZANIA TEAM YAKABIDHIWA BENDERA, VIZA, TIKETI NA VIFAA VYA MICHEZO TAYARI KWENDA MASHINDANONI UINGEREZA


Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kushoto), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (katikati), wakiwa na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakati wa hafla ya kukabidhi timu hiyo, bendera, Viza, Tiketi pamoja na vifaa vya michezo tayari kuelekea Jijini Liverpool, nchini Uingereza kwa ajili ya kinyan'ganyiro hicho na mabingwa wengine duniani pia kuona mchezo wa mwisho wa Ligi ya Uingereza kati ya timu ya Liverpool na Midlesbrough katika katika Uwanja wa Anfield jijini humo. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, wakiwa katika hafla hiyo, Hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (wa tatu kulia), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (wa pili kulia) na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakiwa pamoja na wachezaji wa timu hiyo, wa hafla hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, Juanita Mramba, akizungumza katika hafla hiyo, kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, nchini, Balozi Ami Mpungwe (katikati), wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kulia ni Balozi wa Uingereza nchini. Bi. Sarah Cooke.
Wageni mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo.
Mmoja wa wakilishi wa benki hiyo, akitoa maelezo machache kuhusu safari hiyo, wakati wa hafla hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa timu hiyo, wakiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kulia), wamiliki wa timu hiyo, wakifuatilia maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Deoniz Malinzi, akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke akizungumza katika hafla hiyo, ya kukabidhi bendera, viza, tiketi na vifaa vya michezo kwa timu hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe.
Wachezaji wa Azania Team, wakiwa na baadhi ya wageni mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati), akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza katika hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke.
Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said akielezea matumaini yake na jinsi walivyojianda kwa fainali hiyo, mashindano yatakayofanyika Uwanja wa Anfield jijini Liverpool, nchini Uingereza.
Mchezaji wa timu hiyo, Ahmed Afif, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Thomas Bishanga, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Rajb Ally, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Abdallah Khalid, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Bryan Donald, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Shabaka Khamis, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa nne kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke (wa tano), Balozi Ami Mpungwe (wa tatu) wa Benki ya Standard Chartered pamoja na Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi (wa pili kushoto) na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini.



Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said (wa pili kushoto), akiwa ameishikilia Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe mara baada ya kukabidhiwa. Wa pili kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akipongezwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, Awadh Fuad.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo, Balozi wa Uingereza nchini Bi. Sarah Cooke, Balozi Ami Mpungwe wa Benki ya Standard Chartered pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini. 
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akiagana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, mara baada ya kumalizika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akiwa na baadhi ya wachezaji, wakipata vitafunwa na vinywaji.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.